The free online radio tuner to listen, discover and share your radio stations
Radio Kwizera - FM 97.9 - Ngara
RADIOKWIZERA.ORG
Wall
GuestRadio kwizera
Naitwa uwezo niko Arusha Hi! kwa watangazaji woteApril 17, 2013, 9:33 a.m. GMT
Guestradio kwizeraApril 16, 2013, 7:56 a.m. GMT
GuestNAITWA LEWIS LIINUS WILLAH, NIKIWA ARUSHA, SALAMU ZANGU ZA KWANZA ZIMWENDEE IRENE MASUNKO AKIWA KINAZI KASULU, 2} NDAYISABHA NKOTANYI AKIWA MGANZA KASULU, 3} LEVINI WILLAH AKIWA KIGADYE KASULU. UJUMBE: ASHINDAYE KWENYE JEMBE HAFI NJAA.March 20, 2013, 11:57 a.m. GMT
Guestkwajina na hitwa feza mukandama kutoka portugal(ureno)salamu zangu za kwaza jiwaendeya watangazaji wote waredio kwezere, zapili zi waendeya dungu jamaha na marafiki wote waliongo kambini nyarugusu.ujumbe tukumbukane kupitiya redio yetu kwezea redio mama .March 18, 2013, 3:44 p.m. GMT
Guestjina langu ni emedi munga nipo portugal ureno samu kwa watangazaji hote wa radio kwizera samu kwa wandugu hote na marafiki wakiwa katika kabi la tanzania nyarugusu camp kasulu kigoma salamu sanaMarch 18, 2013, 3:35 p.m. GMT
GuestJina langu Tina ningependa kuwasalimia watangazaji wote wa Radio Kwizera na kuwaambia kwamba mungu anawapenda sana, Salamu zangu ziwendee wa Adventista Wasabato wote ulimwenguni haswa watanzania. Asanteni.March 14, 2013, 9:36 a.m. GMT
GuestkutumaujumbeMarch 10, 2013, 11:25 p.m. GMT
Guestvizuri Jumapili kwa jina langu wote ni Richard magrisi kusema hi kwa rafiki yangu na kwenye redio wakati mzuriFeb. 24, 2013, 8:14 a.m. GMT
Guestjina langu ni richard magrisi nataka kusema hi kwa rafiki yangu wanaishi katika brundi na tanzania tana naishi AustraliaFeb. 24, 2013, 8:09 a.m. GMT
Guestjeg likker radio kwizeraFeb. 17, 2013, 4:54 p.m. GMT
Guestjaman RK fanyen mpango ili tuwapate tunaipenda redio yetu siyo siri nimepakumbuka nyumbani kasulu. By DUNIA NFeb. 7, 2013, 3:29 p.m. GMT
GuestHappy new Year kwa watangazaji wote wa radio Kwizera.Jan. 13, 2013, 8:29 p.m. GMT
GuestTHANKX FOR THIS SERVICEJan. 11, 2013, 2:57 a.m. GMT
Guestgood morningDec. 30, 2012, 4:33 a.m. GMT
GuestI am pasco bwambale in rukaragata biharamulo .that man does not love her and he has no true love for her. however, she also did a mistake to show and give him things before marriage pole sana dadaDec. 13, 2012, 8:26 p.m. GMT
GuestHATUWAPATI VIZURIDec. 1, 2012, 3:56 p.m. GMT
GuestMBONA SOMETIME RADIO KWIZERA HUWA INAKATIKA NI KWA NINI .NAISHI CHINI MAREKANI.Dec. 1, 2012, 3:54 p.m. GMT
Guesthey radio kwizera my name is angelina i would love to listen to your radio i live i americaOct. 10, 2012, 8:14 p.m. GMT
Guestmambo za apoOct. 6, 2012, 4:44 p.m. GMT
Guesteze in dar,listening RK fm right from DAr es salaam. nimepamiss home. peace!!Sept. 23, 2012, 7:34 p.m. GMT
GuestHenri aka Theblues kutoka USA we all mess RKSept. 19, 2012, 3:37 a.m. GMT
Guesti missed top ten on RKSept. 19, 2012, 3:36 a.m. GMT
GuestKama vp nitwangie kombora lake Asher marlon known as ganja planter,coz that guy myself i call him uncle coz 4 his manuva.Sept. 13, 2012, 1:39 p.m. GMT
GuestNawapa hi wana ngara wote popote mlipo. Mzidi kuipenda na kuikumbuka ngara.mimi baraka.Sept. 11, 2012, 9:57 p.m. GMT
GuestHello Kwizera!!!! Mimi naitwa Danny,naishi Sweden,kwanza niataka kuwashukuru kwa kuingia online ili nasi tulombali na nyumbani tuwapate,ninachoomba lekebisheni mitambo ya online coz hatuwapati vizuri,tunaipenda sana radio kwizera,,,,,mwisho namsalimu Mariagoleth Rwamuzigu,,,,,,,Mungu awe nanyi.Sept. 3, 2012, 10:55 a.m. GMT
Guestmunasemaje mimi ni lobert niko usa nawasarimu wakina emmanuel buhohera imani musigwa mungu awabariki sana na wengineoAug. 24, 2012, 3:38 a.m. GMT
Guestsalam zangu zimufikiye malafiki zangu wapo mtabil camp na maamilia,wapenzi, kwaaya ya mtakatifu peter ya kanisa la katolika mtabila ya kwanza hata na watu wota ambayo wanao sali kwa hiro kanisa na nilikua nataka kuambia eti mungu yupo nanyi.
alikua ni fiacre malekaniAug. 22, 2012, 12:34 a.m. GMT
GuestSalam zangu ziwafikie. Askari polisi wote namba 'H' ambao wako mikoa ya kagera, kigoma na sehemu zote inaposikika radio kwizera. Ujumbe tufanye kazi kutokana na mabadiliko ya jeshi. Niko Ngara mjiniAug. 20, 2012, 5:08 a.m. GMT
GuestJamani watangazaji mbona wakimbizi hatupati Simulizi na Mziki kutoka radio kwizera hapa USA hatujuwi labda Bonifase Mpagabe na Emmanuel Buhohela mumewatiwa kazini ,tupeni vitu motomoto kutoka RK ni wenu Jamari bajampaka.Aug. 10, 2012, 12:34 a.m. GMT
Guesttunafurahia kusikiliza radio kwizera hapa USA wakimbizi sote tuburudisheni jamaani kilasiku. salamu kwa justine marwa na edwine ,katekista Andrea Mudeshi pale kifura ,Fuljensi Dogo wa kaziramihunda na kwa paroko wa kibondo na Thomas Niyonsaba pa Mutabira camp ni jamayenu Jamari bajampaka.Aug. 10, 2012, 12:17 a.m. GMT
GuestHi Radio Kwizera mimi naitwa BAJE Kakoko kutoka DSM nawapa salaamu wafanyakazi wote wa Radio kwizera, Wanakijiji wote wa Munjebwe-Rulenge na wote wanaonifahamu popote walipo. Nawapa hongera Radio kwizera kwa kutoa huduma yenu kupitia online. Haya ndiyo mageuzi ya teknologia ya habari. Mungu awabariki sana.July 27, 2012, 12:56 p.m. GMT
Guestmimi ni mediatrice livuzimana niko australia kwanza nawapa salaam wafanyakazi wa radio kwizera pia nakumapa salamu kaka yangu jonh akiwa muyinga burundi nafamiriya yake napiya wifiyangu zaujiya akiwa remera kalibu ya chuochamaendereyo nafamily yake piya na ngugu wanawo nifahamu nawatakiya mafanyikioJuly 2, 2012, 1:49 p.m. GMT
GuestNaitwa Hans Amani wa New York, nawa2mia salamu marafiki zangu wote wako afrika mashariki hasa hasa Tanzania na Burundi. Mungu ibariki AfrikaJune 28, 2012, 3:47 a.m. GMT
Guestnaitwa jack kakozi kutoka Ireland salam zangu kwa ma sungusungu wote kwenye ya NyalugusuJune 27, 2012, 6:59 p.m. GMT
GuestNaitwa Ken Ndabagoye (UNCLE) nikiwa MTWARA, napenda kuwapa HI washikaji wote wa MUKIDIDILI, ngara,marafiki zanu wote wakiwa Ngara -MUJINI- bila kuwasahau watangazaji na wafanyakazi wote wa RK. G to the B upo?
NAIMISS RK vibaya sanaaaaa Hapa Mtwara hakuna kama RK. KEEP IT UP GUYS.June 18, 2012, 10:23 a.m. GMT
GuestNaitwa kwa jina la OLEKO Joseph - OKITANKOY nikiwa New Zealand nawasalimu wenzangu walimu hapo college de la charite kambini nyarugusu , BUHOHELA na KANGETA wakiwa hapo Radio Kwizera, ma veterinary wote wakiwa Nyarugusu camp na marafiki wote ambao wako Nyarugusu na wote ambao wananifahamu bila kusahau EDYMOND ALFRED akiwa Kasulu mjini. nawaambiya wote tupo pamoja.June 17, 2012, 8:25 p.m. GMT
GuestKwa nini Radio Kwizera haipatikani kwenye internet? Nini inakosekana? Napendelea kuwa nasikia radio hiyo huku Marekani nilipo. Asante kwa kuwa mtafanyia kazi mahitaji yetu.June 10, 2012, 2:43 a.m. GMT
Guestjamani nyote huko tanzania hanjamboMay 27, 2012, 7:58 p.m. GMT
Guestjamani kwanini hamtii nyimbo za kiswahiliMay 27, 2012, 7:56 p.m. GMT
Guestvipi mbona siwapati kwenye internet?April 30, 2012, 10:27 p.m. GMT
Guesttz
radio kwizera fm 97.9-ngara-tanzaniaApril 18, 2012, 10:04 p.m. GMT
GuestRadio Kwizera mbona kimya??? Nini mnacho kosa hadi amsikiki kwenye internet?? Tunaitaji kusikilisa radio Kwizera na huku Norway! Asante kwa sababu mtasikiliza maoni yetu sisi walio kuwa wakimbizi from Kigoma(Nyarugusu, Lugufu, Mtabila, Nduta, Kanembwa, Rukole.....)April 14, 2012, 10:13 p.m. GMT
Guestwe'd like to listene RK online in AustraliaApril 7, 2012, 6:52 a.m. GMT
Guestnafurahi sana kuona radio Kwizera online japo haijaweza kusikika huku tuliko!
Hongereni sana kwa kazi nzuri, mungu azidi kuwabariki sana!
Baraka Rusasa, SJApril 4, 2012, 7:52 p.m. GMT
Guestkwanini radio kwizera haitumiki tunaitanjiMarch 30, 2012, 2:48 a.m. GMT
GuestNaitwa Steven Gerald Napatikana kwenye Facebook na niko Marekani ningepnenda niwe nasikiliza Radio Kwizera Online or live.kama tunavyo sikiriza nyingine radio kama WWW.SANGANIRO.ORG OR WWW.BONGORADIO.COM izo radio tunazipata 24 hours. nitasukuru endapo nitajibiwa kwa mawasiliano zaidi tumia my email stevengerald15@yahoo.comMarch 25, 2012, 7:20 p.m. GMT
Guestnaitwa kwa jina MANASE BIN BENDERA naishi pretoria (south africa ) nawasalimu ndugu na marafiki wakiwa NYARUGUSU camp ,KAZIMIA .March 25, 2012, 6:52 a.m. GMT
Guestnahitwa kwa jina MOYO ANZURUNI naishi south africa nawasalimu wazee wangu ANZURUNI MOYO na MWAVITA KIZA wakiwa kambini nyarugusu na marafiki wote SHISHAMU BOSOKA , MAONYESHO MUKANDAMA , weekend njema kwa wote .March 25, 2012, 6:48 a.m. GMT
Guestnahitwa kwajina la emmanuel naishi australia naomba wandugu wote ambao wako nyarugusu camp salamu zangu ziwafikiye sana mimi mzima piya bila kusahau emmanuel buhohera na mazibo kangetaMarch 23, 2012, 11:03 a.m. GMT
Guesthi, naitwa george nipo b,mulo.hilo mchango la mil 7.hiyo fitina 2.citapokea.March 21, 2012, 12:11 p.m. GMT
Guesthi naitwa jamila maarufu dadi napatikana new zealand napenda kupeperusha salamuzangu kwanza nikwaasali wangu wangu wa moyo jislain na rafikizake yote,pili nikwa bina mu yangu mpendwa dany nafamilia yake na wengine wote wanao nifahamu kambini nyarugusu.march 15,2012, 9;27 pm gmtMarch 15, 2012, 7:59 a.m. GMT
Guesthi naitwa katulitsa niko mkwawa university nawapa hi. baba, baba mama, mashemeji wote wa nyumbani. me mzima tu wote hao wako myaga kitahana- kibondoMarch 10, 2012, 1:01 p.m. GMT
Guestje mapelle george kanani,..chaque moment ou je vois le mot, radio kwizera, . namkukmbuka xana Rose kiwia..ivi yuko wapi???March 7, 2012, 8:11 p.m. GMT
Guesthi, naitwa Jack kutoka Ireland naipenda sana radio kwizera, naikumbuka sana kipindi nilipokuwa kambini lugufu, ilikuwa inaniburudisha sana na vipindi vyake moto-moto, naomba hiwekwe online ili ituburudishe hapa Europe piaMarch 7, 2012, 3:12 p.m. GMT
Guestnaitwa joan rwegoshora naishi ngara naipenda saana radio kwizera please iwekeni kwenye satelite na mtandaoniMarch 7, 2012, 9:36 a.m. GMT
Guestmy name is david
I live in U.S.A
I greeting my friend clement he live in nyarugusu
another greeting loan until my brother zidot exi fire
message : GOD is so goood all timeFeb. 22, 2012, 5:51 a.m. GMT
Guestnaitwa ndoli nyugwa wa kasulu naomba wimbo wa sa m usiniache mchumba uwafikie wadau wote wa rkFeb. 16, 2012, 9:16 a.m. GMT
GuestKiukweli mnatisha nawapa big up! Endeleeni kukandamiza.Hai kwa watangazaji wote wa kwizera.Feb. 14, 2012, 6:49 p.m. GMT
GuestI love this radioFeb. 7, 2012, 9:55 p.m. GMT
Guestvipi mimi ni Patrick Meyangandu nahishi Marecan mimi ni mkimbizi hambaye hame kuja Mareca
namukitakaniwa shidiye munijuliche ku FACEBOOK jina ya facebook ni ditopil19@yahoo.comFeb. 4, 2012, 7:53 p.m. GMT
Guestmimi na itwa claude kutaka america naipenda sana radio kwizara lakina nakosa huwezo wa kusikiliza kwenye mtandao i meaning on internet kwanini radio kwizera aipatikani hapa marecan kwenya mtandao tuwachane nailo napenda kumsalimia baba yangu yuko hapo nyarungusu camp anaitwe vecent maharufu vesa nimimi kwanaya claude kutoka marecan namwengi mama didie yuko hapo nyarugusu camp nawengina yote ma ...Jan. 11, 2012, 7:50 p.m. GMT
Guestmimi naitwa hakizimana moises namusalimia na anzia kwa mkubwa wangu ikiwa k ambi ya mtabila camp anaitwa hatungimana ezechiel namke wake tena namusalimia mtanzania akiwa kijiji cha buhoro akiwa rafiki yangu anaitwa huruma eliasi anapatikana majengo kahunga akipenda anaweza kunipigia 4802048631 au marafiki wanaweza kuchuwa namba hi4802048632 hi 480 2048631ok thenks radio kizera end happhy new y...Jan. 10, 2012, 9:19 a.m. GMT
GuestFLUGENCE NDUGU WATANGAZAJI MKIFANYIKISHA KUMPATA STAMILI MPENI NAMBA HIII5057121642 NI MFANYA BI ASHARA KIBONDO NA ZAWADI IPO KWAYEYOTE ATAKAYE ZAIDIA KUMPATA BWA STAMILI ASANTENIJan. 9, 2012, 3:57 p.m. GMT
Guestfuligence naomba mnitafutie ngugu bwana stamili wakindo ana uza byashara ya duka bibondo na mtafuta sana nime poteza namba yake ya simu kwa atakaye mpata stamili atapewa zawadi .kwani nina mzigo wake ila sina mawasiliamo mimi ni mkongo ni meishi kambini mkugwa,nduta na kanembwa sasa naishi usa tafazali utakapo sikia tangazo hili mjulishestamili na mbaya simu ni 5057121942 zawadinono imeandaliwa ka...Jan. 9, 2012, 3:50 p.m. GMT
Guestsorry naomba munitumie web yenu niwe nawasikiliza ukukwetu usa adress yangu ni fidelbyadu@yahoo.com nitashukuru kama mutajibu kwa ombi langu asanteni na Mungu awabarikiDec. 31, 2011, 6:21 a.m. GMT
Guestnimimi fidel byadu nikiwa usa naomba munipeperushie salamuzangu kwa mchumba wangu zuzana wa nyarungusu na mdogo wangu samweli napia type wote wakiwa nyarungusu camp bila kusahau kwaya ya mtakatifu petro nawatagazaji wote wa radoi kwizeraDec. 18, 2011, 7:36 p.m. GMT
kasile mulondawe can't hear the radio on pls do what u can to connect usDec. 6, 2011, 5:54 p.m. GMT
Guestni mimi tena AWILO wa MKUGWA CAMP naomba muwape hawa watu hizi namba zangu ni 14507767654Dec. 1, 2011, 5:24 a.m. GMT
Guestmimi naitwa awilo alex nikiwa canada naomba munippeperushishie hizi salamu kwa boniface mpagabe na lioba mbuva na faraja john pia elias mtumishi wa western union ya kibondo pia familia yooooote ya mbonimpa falese ntirugeregwa familia hiyo wanitumie namba za simu za mboni pia bila dunia masudi chande wa kibondo samu zingine ni kjt kanembwa namkumbuka muganyizi saaaaaana namkumbuka askari magereza a...Dec. 1, 2011, 5:20 a.m. GMT
Guestsalamu zangu ziwafikiye watanganzaji wote wa radio kwizera,let me thank god because he had done a lot think fo us. natena nikwasababu amenisahidiya nikapata kuiona radio kwezera nilikuwaja nahitafuta sana ila kwasasa nikahipana kwenye . let me thank god for that thankNov. 30, 2011, 1:36 p.m. GMT
GuestSalaam zangu ziwafikie Watangazaji wote wa Radio Kwizera, Thanks for Good Job ya kuwahabarisha WTZ pamoja na nchi zote za ukanda wa maziwa makuu;
Naomba unipeperushie salaam hizi kwa Tanzania wote:
Nawatakia Kheri ya Christ Mass na Mwaka mpya 2012 Watanzania wote. Sifa na Utukufu tunampa Mungu kwa kututunza na kulilinda Taifa Letu.
Ujumbe wa Mwaka mpya kwa Watanzani:
" New Thinking, Ne...Nov. 30, 2011, 6:33 a.m. GMT
GuestI am from burundi i want to say hello for every one helped me when I had big problems 2005 -30-nov and say thanks
now i need help from tanzania about teaching burundi government how to look after people
thanks very much GOD CONTINUE LOOK MY GOOD CANTRY TANZANIA AND PEOPLE LIVE INNov. 29, 2011, 9:08 a.m. GMT
Guesthi is me sondasiNov. 29, 2011, 1:53 a.m. GMT
Guestnashaka ndamutse abagenzi bonse edith johnson
bonifas nabandi ndabipfuriza noel nziza nu mwaka mushasha yari ndayizeyeNov. 28, 2011, 10:06 a.m. GMT
Guestnatakia amani watu wote wanaishi camp ya wakimbizi kila shehemu ya dumia na na wapende mungu matatizo yote atamalizikaNov. 28, 2011, 9:58 a.m. GMT
Guestmimi naitwa valentine nikiwa amerika;napenda kuwasalimi
ndungu na marafiki wako tanzania ndamiano na pefania na mimbiro na vendasite na kerematine na polina na vioreta .wengine ni wata ganji wa radio kwizera na watakia .pasaka zuli sana bye .2011-11-14 5;00 pmNov. 14, 2011, 10:01 p.m. GMT
Guesthi go to google and writte isanganiro and cick at tfhe second partNov. 14, 2011, 9:33 p.m. GMT
GuestNaitwa Richard J ames niko radio morning star Dar es salaam nawatakia salamu watangazaji wa radio kwizera Ramadha Makonda,Gordeni Bucha Emanuel Jansone,Grece Gwamagobe na wengine wote wanaofanya kazi yakuielimisha jamii kupitia radio kwizera Mungu awababarikiNov. 6, 2011, 9:48 a.m. GMT
GuestMy name is skole i live in america i want to say hi to my friends who live in nyarugusu camp such as banza or mvunja ,his brother byaonda ,kashindi jack and his brother demunga .
thanks a lot for reading my message and god bless you and other stuff.Oct. 26, 2011, 12:27 a.m. GMT
GuestMimi naitwa kwa jina la skole naishi marekani.
napenda ku wasalimu ndugu na jamaa wa kiwa na ishi katika kambi ya nyarugusu wakiwa ni banza au mvunja, byaonda ,kashindi jack na watangazaji wote wa kwizera.
asanteni sana.Oct. 26, 2011, 12:10 a.m. GMT
GuestMimi naitwa Anjelina Mashakiro kutoka camp Mkurwa sasa ivi naishi amerika.saalam zangu ziwaendee kaka zangu wote Uko muhange ,pamoja na marafiki zangu wote wanao ishi Tanzania.Ujumbe tuzidi kuombeana na mungu awabaliki AnjelinaOct. 16, 2011, 1:03 p.m. GMT
Guestmimi naitwa songa kutoka U.S.A georgia mimi ni mcongo. lakini nime zaliwa lugufu camp inchin tanzania. kwenye vipindi vya radio kwizera napenda sana kipindi cha satadishow na kipindi cha p damas missanga. salamu nzangu ziwafikie ndugu zangu wakiawa apo nyarugusu camp salamu zangu zimufikie kaskile namwambia na mpenda sana salamu zangu za pili zimfikie dada roza akiwa apo nyarugusu namwambia na mpe...Oct. 15, 2011, 12:46 a.m. GMT
Guestabari gani radio kwizera sitaki kutaja jina langu lakini nita tuma salamu kwa junveto sijuveri na wa tangazaji wote wa kwizera nilikua na ishi kambi ya kanembwa na tuma salamu zangu sana kwa jack akiwa apo nyarugusu camp na tuma salamu nzangu kwa ekwato akiwa apo nyarugusu camp bila kumu saau dada roza akiwa apo nyarugusu camp nawaambia iv tumuombe mungu kwa bidiiOct. 15, 2011, 12:30 a.m. GMT
GuestCongratulation to Fr. Damas Missanga sj for his good well done job at RK.Sept. 1, 2011, 9:52 a.m. GMT
Guesti used to love this radio till now but i cant find even in internet for real i miss RKAug. 21, 2011, 11:48 p.m. GMT
Guestcool and ilike this radioAug. 10, 2011, 4:28 p.m. GMT
GuestMimi naitwa Seti Hrusha ao Nestory Nibizi ni mtanzania ninaishi Minnesota,U.S.A tunapenda kisikia RFK online wakati wowote kama bbc tunavyoipata online,
Kwani ikiwa tutaweza kisikiliza oline kama tunavosikiliza bbc hakuna radio nyingine ninaweza kusikiliza. kwani ninaamini radio kwizera ni kiboko yao. Salam ziwafikie watangazi wote wa RFK.July 7, 2011, 2:01 a.m. GMT
Guestni mozar niko american nimetokea uko tanzania naipenda sana RK sasa nawaomba kama mna uwezo muweke hii radio kwenye line ok txMay 28, 2011, 1:19 p.m. GMT
GuestMbele yayote kwajina naitwa kenyatta H lakini wengi wananijuwa kwajina la HOLLIDAY nikiwa apa Marekani : acheni niwape hi kwa marafikiwangu wote wako kambini Mtabila wengine Burundi nawasalimia nikiwatakia sikukuu njema ya pasaka . Lakiniwatuwako kwenye mitambo tunaomba tuwe tunasikiliza Radio Kwizera tunaifagilia sana tena sana.basi acheni niseme bye!!!!!!!!May 22, 2011, 3:38 a.m. GMT
Guestplease show me how can i listen to radio isanganiro pleaseMay 20, 2011, 3:24 a.m. GMT